Exodus 37:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alilipaka dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akalifunika dhahabu safi, ndani na nje, akafanya na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alilipaka dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akalifunika dhahabu safi, ndani na nje, akafanya na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alilipaka dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu pande zote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akalifunikiza lote dhahabu tupu, upande wa ndani na upande wa nje, kisha akazungusha juu yake taji ya dhahabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akalifunika dhahabu safi, ndani na nje, akafanya na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akalipakaa zahabu safi ndani na inje na kulifanyia ukingo wa zahabu pande zote.