Exodus 37:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alifanya mipiko miwili ya mjohoro na kuipaka dhahabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha akafanya hiyo miti kwa mti wa mshita, na kuifunika dhahabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alifanya mipiko miwili ya mjohoro na kuipaka dhahabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha akafanya hiyo miti kwa mti wa mshita, na kuifunika dhahabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alifanya mipiko miwili ya mjohoro na kuipaka dhahabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akatengeneza mipiko kwa migunga, akaifunikiza dhahabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha akafanya hiyo miti kwa mti wa mshita, na kuifunika dhahabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akafanya miti miwili ya mujohoro na kuipakaa zahabu.