Exodus 38:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bezaleli aliitumia shaba hiyo kutengenezea vikalio vya mlango wa hema la mkutano, madhabahu ya shaba pamoja na wavu wake wa shaba, vyombo vyote vya madhabahu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akafanya ya hiyo shaba matako kwa ajili ya lango la hema ya kukutania, na hiyo madhabahu ya shaba, na ule wavu wa shaba kwa ajili yake na vyombo vyote vya hiyo madhabahu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bezaleli aliitumia shaba hiyo kutengenezea vikalio vya mlango wa hema la mkutano, madhabahu ya shaba pamoja na wavu wake wa shaba, vyombo vyote vya madhabahu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akafanya ya hiyo shaba vitako kwa ajili ya lango la hema ya kukutania, na hiyo madhabahu ya shaba, na ule wavu wa shaba kwa ajili yake na vyombo vyote vya hiyo madhabahu,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bezaleli aliitumia shaba hiyo kutengenezea vikalio vya mlango wa hema la mkutano, madhabahu ya shaba pamoja na wavu wake wa shaba, vyombo vyote vya madhabahu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hizi zilitumika za kutengeneza miguu ya hapo pa kuliingilia Hema la Mkutano na meza ya shaba ya kutambikia na wavu wa shaba uliotiwa kwake na vyombo vyote vya meza ya kutambikia,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akafanya ya hiyo shaba matako kwa ajili ya lango la hema ya kukutania, na hiyo madhabahu ya shaba, na ule wavu wa shaba kwa ajili yake na vyombo vyote vya hiyo madhabahu,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bezaleli akatumia shaba hiyo kwa kutengeneza vikalio vya mulango wa hema la mukutano, mazabahu ya shaba pamoja na wavu wake wa shaba, vyombo vyote vya mazabahu,