Exodus 38:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alitengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka shaba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akaifanya hiyo miti kwa mti wa mshita na kuifunika shaba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alitengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka shaba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akaifanya hiyo miti kwa mti wa mshita na kuifunika shaba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alitengeneza mipiko ya mjohoro na kuipaka shaba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akatengeneza mipiko ya migunga, akaifunikiza shaba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akaifanya hiyo miti kwa mti wa mshita na kuifunika shaba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akatengeneza miti ya mujohoro na kuipakaa shaba.