Exodus 40:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Utamwita Aroni na wanawe waje mlangoni mwa hema la mkutano, kisha uwatawadhe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mlete Haruni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha utamleta Haruni na wanawe hapo mlangoni pa hema ya kukutania, nawe utawaosha kwa maji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Utamwita Aroni na wanawe waje mlangoni mwa hema la mkutano, kisha uwatawadhe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mlete Haruni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha utamleta Haruni na wanawe hapo mlangoni pa hema ya kukutania, nawe utawaosha kwa maji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Utamwita Aroni na wanawe waje mlangoni mwa hema la mkutano, kisha uwatawadhe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha mwite Haroni nao wanawe, wafike hapo pa kuliingilia Hema la Mkutano, kisha waambie wajiogeshe majini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha utamleta Haruni na wanawe hapo mlangoni pa hema ya kukutania, nawe utawaosha kwa maji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utamwita Haruni na wana wake wakuje kwenye mulango wa hema la mukutano, kisha uwanawishe.