Exodus 40:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mvike Aroni yale mavazi matakatifu; utampaka mafuta na kumweka wakfu, ili aweze kunitumikia kama kuhani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha mvike Haruni yale mavazi matakatifu, umpake mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia kama kuhani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha utamvika Haruni mavazi matakatifu; nawe utamtia mafuta, na kumweka awe mtakatifu, ili apate kunitumikia katika kazi ya ukuhani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mvike Aroni yale mavazi matakatifu; utampaka mafuta na kumweka wakfu, ili aweze kunitumikia kama kuhani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha mvike Haruni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha utamvika Haruni mavazi matakatifu; nawe utamtia mafuta, na kumweka awe mtakatifu, ili apate kunitumikia katika kazi ya ukuhani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mvike Aroni yale mavazi matakatifu; utampaka mafuta na kumweka wakfu, ili aweze kunitumikia kama kuhani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha umvike Haroni mavazi matakatifu na kumpaka mafuta; hivi ndivyo, utakavyomweua, apate kuwa mtambikaji wangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha utamvika Haruni mavazi matakatifu; nawe utamtia mafuta, na kumweka awe mtakatifu, ili apate kunitumikia katika kazi ya ukuhani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utamuvalisha Haruni zile nguo takatifu. Utamupakaa mafuta na kumutakasa, kusudi aweze kunitumikia kama vile kuhani.