Exodus 40:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mose, Aroni na wanawe, wote walinawa mikono na miguu yao humo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye Musa, Haruni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mose, Aroni na wanawe, wote walinawa mikono na miguu yao humo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye Musa, Haruni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mose, Aroni na wanawe, wote walinawa mikono na miguu yao humo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Mose na Haroni na wanawe wakajiosha humo mikono yao na miguu yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musa, Haruni na wana wake, wote wakanawa mikono na miguu yao mule.