Exodus 40:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Birika la kutawadhia utaliweka katikati ya hema la mkutano na madhabahu na kulijaza maji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha utaliweka birika kati ya hema ya kukutania na hiyo madhabahu, nawe utatia maji ndani yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Birika la kutawadhia utaliweka katikati ya hema la mkutano na madhabahu na kulijaza maji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha utaliweka birika kati ya hema ya kukutania na hiyo madhabahu, nawe utatia maji ndani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Birika la kutawadhia utaliweka katikati ya hema la mkutano na madhabahu na kulijaza maji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha uliweke birika katikati ya hema la Mkutano na meza ya kuteketezea ng'ombe za tambiko na kulitia maji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha utaliweka birika kati ya hema ya kukutania na hiyo madhabahu, nawe utatia maji ndani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Birika la kunawia utaliweka katikati ya hema la mukutano na mazabahu na kulijaza maji.