Ezekiel 1:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, tena kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila kimoja kilikuwa na nyuso ine na mabawa mane.