Ezekiel 10:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Viumbe wenye mabawa wakainuka juu. Hawa ndio wale viumbe hai niliowaona karibu na mto Kebari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Makerubi wakapaa juu; huyo ndiye kiumbe hai niliyemwona karibu na mto Kebari.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Viumbe wenye mabawa wakainuka juu. Hawa ndio wale viumbe hai niliowaona karibu na mto Kebari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Makerubi wakapaa juu; huyo ndiye kiumbe hai niliyemwona karibu na mto Kebari.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Viumbe wenye mabawa wakainuka juu. Hawa ndio wale viumbe hai niliowaona karibu na mto Kebari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Makerubi wakaenda juu. Hawa ndio nyama, niliyemwona kwenye mto wa Kebari.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Makerubi wakapaa juu; huyo ndiye kiumbe hai niliyemwona karibu na mto Kebari.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Makerubi wakanyanyuka juu. Hawa ndio vile viumbe niliowaona karibu na muto Kebari.