Ezekiel 10:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hawa walikuwa wale viumbe hai niliowaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na mto Kebari, nami nikatambua kuwa ni viumbe wenye mabawa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa walikuwa viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua kuwa hao walikuwa makerubi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huyu ndiye kiumbe hai niliyemwona, chini ya Mungu wa Israeli, karibu na mto Kebari; nikajua ya kuwa hao ni makerubi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hawa walikuwa wale viumbe hai niliowaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na mto Kebari, nami nikatambua kuwa ni viumbe wenye mabawa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huyu ndiye kiumbe hai niliyemwona, chini ya Mungu wa Israeli, karibu na mto Kebari; nikajua ya kuwa hao ni makerubi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hawa walikuwa wale viumbe hai niliowaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na mto Kebari, nami nikatambua kuwa ni viumbe wenye mabawa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyo ndiye nyama, niliyemwona chini yake Mungu wa Isiraeli kwenye mto wa Kebari, nikajua, ya kuwa hao ndio Makerubi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huyu ndiye kiumbe hai niliyemwona, chini ya Mungu wa Israeli, karibu na mto Kebari; nikajua ya kuwa hao ni makerubi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hawa walikuwa wale viumbe niliowaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na muto Kebari, nami nikatambua kwamba ni makerubi.