Ezekiel 10:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne na mabawa manne; na chini ya kila bawa kulikuwa na kitu kama mkono wa binadamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne, na chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne; na mifano ya mikono ya mwanadamu ilikuwa chini ya mabawa yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne na mabawa manne; na chini ya kila bawa kulikuwa na kitu kama mkono wa binadamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne; na mifano ya mikono ya mwanadamu ilikuwa chini ya mabawa yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne na mabawa manne; na chini ya kila bawa kulikuwa na kitu kama mkono wa binadamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne, tena kila mmoja alikuwa na mabawa manne, tena iliyofanana na mikono ya watu ilikuwa chini ya mabawa yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne; na mifano ya mikono ya mwanadamu ilikuwa chini ya mabawa yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila mumoja wao alikuwa na nyuso ine na mabawa mane na chini ya kila bawa kulikuwa kitu kinachokuwa kama mukono wa mutu.