Ezekiel 10:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale viumbe wenye mabawa walikuwa wamesimama upande wa kusini wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu yule mtu alipoingia ndani; wingu likaujaza ua wa ndani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, makerubi walisimama upande wa kuume wa nyumba, hapo alipoingia mtu yule; nalo wingu likaujaza ua wa ndani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale viumbe wenye mabawa walikuwa wamesimama upande wa kusini wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu yule mtu alipoingia ndani; wingu likaujaza ua wa ndani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, makerubi walisimama upande wa kulia wa nyumba, hapo alipoingia mtu yule; nalo wingu likaujaza ua wa ndani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale viumbe wenye mabawa walikuwa wamesimama upande wa kusini wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu yule mtu alipoingia ndani; wingu likaujaza ua wa ndani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makerubi yalikuwa yamesimama kuumeni penye hiyo Nyumba, yule mtu alipoingia, nalo lile wingu lilikuwa limeujaza ua wa ndani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, makerubi walisimama upande wa kuume wa nyumba, hapo alipoingia mtu yule; nalo wingu likaujaza ua wa ndani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa nyumba ya Yawe, yule mutu alipoingia ndani; wingu likafunika kiwanja cha ndani.