Ezekiel 10:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Viumbe wenye mabawa hao walionekana kuwa kitu kama mkono wa binadamu chini ya mabawa yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(Chini ya mabawa ya makerubi palionekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kukaonekana katika makerubi mfano wa mkono wa mwanadamu chini ya mabawa yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Viumbe wenye mabawa hao walionekana kuwa kitu kama mkono wa binadamu chini ya mabawa yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kukaonekana katika makerubi mfano wa mkono wa mwanadamu chini ya mabawa yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Viumbe wenye mabawa hao walionekana kuwa kitu kama mkono wa binadamu chini ya mabawa yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha kukaoneka kwa Makerubi chini ya mabawa yao mfano wa mkono wa mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kukaonekana katika makerubi mfano wa mkono wa mwanadamu chini ya mabawa yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Makerubi hao walionekana kuwa na kitu kama mukono wa mutu chini ya mabawa yao.