Ezekiel 12:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wewe mtu! Je, hao waasi wa Israeli hawajakuuliza maana ya hicho ulichofanya?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mwanadamu, je, nyumba ile ya uasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wewe mtu! Je, hao waasi wa Israeli hawajakuuliza maana ya hicho ulichofanya?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mwanadamu, je, nyumba ile ya kuasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mwanadamu, je, nyumba ile ya kuasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wewe mtu! Je, hao waasi wa Israeli hawajakuuliza maana ya hicho ulichofanya?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana wa mtu, wao wa mlango wa Isiraeli walio mlango mkatavu hawakukuuliza: Wewe unafanya nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe mwanadamu! Hao waasi Waisraeli hawajakuuliza maana ya kitendo ulichofanya?