Ezekiel 13:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, utakapoanguka, watu hawatawauliza: ‘Na ile chokaa mlioupaka iko wapi?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na huo ukuta utakapoanguka, je! Hamtaambiwa, Ku wapi kupaka kwenu mlikoupaka?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, utakapoanguka, watu hawatawauliza: ‘Na ile chokaa mlioupaka iko wapi?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na huo ukuta utakapoanguka, je! Hamtaambiwa, Kuko wapi kupaka kwenu mlikoupaka?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, utakapoanguka, watu hawatawauliza: ‘Na ile chokaa mlioupaka iko wapi?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, mtakapoona, hilo boma likianguka, nanyi mtaulizwa: Chokaa, mliyolipaka, iko wapi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na huo ukuta utakapoanguka, je! Hamtaambiwa, Ku wapi kupaka kwenu mlikoupaka?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utakapoanguka, watu hawatawauliza hivi: Na ile chokaa mulioupakaa iko wapi?