Ezekiel 14:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitamwadhibu huyo nabii pamoja na huyo mtu aliyekuja kumwuliza matakwa yangu; wote watapata adhabu ileile,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watawajibika kwa hatia yao: nabii atakuwa na hatia sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao watauchukua uovu wao; uovu wa nabii utakuwa sawasawa na uovu wake yule amwendeaye aulize neno;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitamwadhibu huyo nabii pamoja na huyo mtu aliyekuja kumwuliza matakwa yangu; wote watapata adhabu ileile,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watachukua hatia yao, nabii atakuwa na hatia sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watachukua hatia yao, nabii atakuwa na hatia sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao watauchukua uovu wao; uovu wa nabii utakuwa sawasawa na uovu wake yule amwendeaye aulize neno;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitamwadhibu huyo nabii pamoja na huyo mtu aliyekuja kumwuliza matakwa yangu; wote watapata adhabu ileile,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo watatwikwa manza zao walizozikora: manza zake aliyeuliza zitakuwa sawasawa na manza zake mfumbuaji yule.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao watauchukua uovu wao; uovu wa nabii utakuwa sawasawa na uovu wake yule amwendeaye aulize neno;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitamwazibu yule nabii pamoja na yule mutu aliyekuja kumwuliza mapenzi yangu; wote watapata azabu ileile.