Ezekiel 14:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena nitaleta maradhi mabaya nchini humo na kwa ghadhabu yangu nitawaua watu na wanyama.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Au nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kupitia kumwaga damu, kuua watu wa nchi hiyo na wanyama wao,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Au nikipeleka tauni katika nchi ile, na kumwaga ghadhabu yangu juu yake, kwa damu; ili kuwakatilia mbali nayo wanadamu na wanyama;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena nitaleta maradhi mabaya nchini humo na kwa ghadhabu yangu nitawaua watu na wanyama.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia ya kumwaga damu, kuua watu wake na wanyama wao,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia ya kumwaga damu, kuua watu wake na wanyama wao,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Au nikituma tauni katika nchi ile, na kumwaga ghadhabu yangu juu yake, kwa damu; ili kuwakatilia mbali nayo wanadamu na wanyama;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena nitaleta maradhi mabaya nchini humo na kwa ghadhabu yangu nitawaua watu na wanyama.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Au kama ningeipelekea ile nchi magonjwa mabaya, akiimwagia makali yangu yenye moto pamoja na kumwaga damu, nitoweshe kwake watu na nyama,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Au nikipeleka tauni katika nchi ile, na kumwaga ghadhabu yangu juu yake, kwa damu; ili kuwakatilia mbali nayo wanadamu na wanyama;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tena nitaleta ugonjwa mukali katika inchi ile na kwa kasirani yangu nitawaua watu na nyama.