Ezekiel 16:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ulikuwa mke mzinzi akaribishaye wageni badala ya mumewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni, kuliko mume wako mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mke wa mtu, aziniye! Akaribishaye wageni badala ya mumewe!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ulikuwa mke mzinzi akaribishaye wageni badala ya mumewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni, kuliko mume wako mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni, kuliko mume wako mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mke wa mtu, aziniye! Akaribishaye wageni badala ya mumewe!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ulikuwa mke mzinzi akaribishaye wageni badala ya mumewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
U mwanamke avunjaye unyumba, achukuaye wageni na kumwacha mumewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mke wa mtu, aziniye! Akaribishaye wageni badala ya mumewe!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ulikuwa kama muke muzinzi anayekaribisha wageni pahali pa mume wake.