Ezekiel 17:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ili utawala huo uwe dhaifu na uzingatie agano lake mfalme wa Babuloni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya mapatano yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili ufalme huo uwe duni usijiinue, lakini usimame kwa kulishika agano lake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ili utawala huo uwe dhaifu na uzingatie agano lake mfalme wa Babuloni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya mapatano yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya mapatano yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili ufalme huo uwe duni usijiinue, lakini usimame kwa kulishika agano lake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ili utawala huo uwe dhaifu na uzingatie agano lake mfalme wa Babuloni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ufalme ukae chini tu, usijikweze, usimamike tu kwa kulishika agano lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili ufalme huo uwe duni usijiinue, lakini usimame kwa kulishika agano lake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kusudi utawala huo ukuwe zaifu na ushike agano la mufalme wa Babeli.