Ezekiel 18:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Ikiwa mtu huyo ana mtoto mkatili au muuaji,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walakini akizaa mwana aliye mnyang'anyi, mmwaga damu, atendaye mambo hayo mojawapo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Ikiwa mtu huyo ana mtoto mkatili au muuaji,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walakini akizaa mwana aliye mnyang'anyi, mmwaga damu, atendaye mambo hayo mojawapo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Ikiwa mtu huyo ana mtoto mkatili au muuaji,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu kama huyo akizaa mwana aliye mkorofi, amwage damu, afanye moja tu la mabaya yale,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walakini akizaa mwana aliye mnyang’anyi, mmwaga damu, atendaye mambo hayo mojawapo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini ikiwa mutu huyo ana mutoto ambaye anafanya mabaya baba yake asiyofanya, yule mutoto atakufa kama anafanya machukizo haya: ananyanganya, anaua, anakula sadaka kwenye milima, anamuchafua muke wa jirani yake, anawatendea wamasikini na wakosefu vibaya, anaiba, harudishi rehani, anaangalia sanamu za miungu na kufanya machukizo, anakopesha kwa kupata faida na kujitafutia mazidio. Hakika atakufa, na yeye mwenyewe atabeba lazima ya kifo chake.