Ezekiel 18:15 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
hali tambiko zilizokatazwa huko mlimani, wala kuziabudu sanamu za miungu ya Waisraeli, hamnajisi mke wa jirani yake,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hakula katika mahali pa ibada za sanamu kwenye milima, wala hainulii macho sanamu za nyumba ya Israeli. Hakumtia unajisi mke wa jirani yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
hali tambiko zilizokatazwa huko mlimani, wala kuziabudu sanamu za miungu ya Waisraeli, hamnajisi mke wa jirani yake,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hakula katika mahali pa ibada za miungu kwenye milima, wala hainulii macho sanamu za nyumba ya Israeli. Hakumtia unajisi mke wa jirani yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hakula katika mahali pa ibada za miungu kwenye milima, wala hainulii macho sanamu za nyumba ya Israeli. Hakumtia unajisi mke wa jirani yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
hali tambiko zilizokatazwa huko mlimani, wala kuziabudu sanamu za miungu ya Waisraeli, hamnajisi mke wa jirani yake,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
asile vilimani juu, wala asiyatazamie kwa macho yake magogo ya kutambikia ya mlango wa Isiraeli, wala asimchafue mke wa mwenziwe,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake,