Ezekiel 18:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kwa nini mnarudiarudia methali hii katika nchi ya Israeli: ‘Akina baba wamekula zabibu mbichi, lakini meno ya watoto wao yakatiwa ganzi!’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Maana yake ni nini hata mkatumia mithali hii katika Israeli, mkisema, Baba wamekula zabibu mbichi, nao watoto wakatiwa ganzi la meno?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kwa nini mnarudiarudia methali hii katika nchi ya Israeli: ‘Akina baba wamekula zabibu mbichi, lakini meno ya watoto wao yakatiwa ganzi!’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu zenye chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu zenye chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Maana yake ni nini hata mkatumia mithali hii katika Israeli, mkisema, Baba wamekula zabibu mbichi, nao watoto wakatiwa ganzi la meno?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kwa nini mnarudiarudia methali hii katika nchi ya Israeli: ‘Akina baba wamekula zabibu mbichi, lakini meno ya watoto wao yakatiwa ganzi!’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ninyi hulitumiaje katika nchi ya Isiraeli fumbo kama hilo la kwamba: Baba walipokula zabibu bichi, ndipo, wana alipokufa ganzi la meno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Maana yake ni nini hata mkatumia mithali hii katika Israeli, mkisema, Baba wamekula zabibu mbichi, nao watoto wakatiwa ganzi la meno?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa nini munarudiliarudilia mezali hii katika inchi ya Waisraeli: Wababa wamekula matunda mabichi ya mizabibu, lakini ni meno ya watoto wao ndiyo yanaumizwa!