Ezekiel 18:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtu mwovu akiachana na uovu aliofanya, akatenda mambo yaliyo haki na sawa, huyo atayaokoa maisha yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mtu mwovu akigeuka kutoka maovu aliyoyatenda na kufanya yaliyo haki na sawa, ataokoa maisha yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena, mtu mwovu atakapoghairi, na kuuacha uovu wake alioutenda, na kutenda yaliyo halali na haki, ataponya roho yake, nayo itakuwa hai.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtu mwovu akiachana na uovu aliofanya, akatenda mambo yaliyo haki na sawa, huyo atayaokoa maisha yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mtu mwovu akigeuka kutoka katika maovu aliyoyatenda na kufanya yaliyo haki na sawa, ataokoa maisha yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mtu mwovu akigeuka kutoka maovu aliyoyatenda na kufanya yaliyo haki na sawa, ataokoa maisha yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena, mtu mwovu atakapoghairi, na kuuacha uovu wake alioutenda, na kutenda yaliyo halali na haki, ataponya roho yake, nayo itakuwa hai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtu mwovu akiachana na uovu aliofanya, akatenda mambo yaliyo haki na sawa, huyo atayaokoa maisha yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena asiyemcha Mungu akirudi na kumcha Mungu afanye yaliyo sawa yaongokayo, huyu ataipatia roho yake uzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena, mtu mwovu atakapoghairi, na kuuacha uovu wake alioutenda, na kutenda yaliyo halali na haki, ataponya roho yake, nayo itakuwa hai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mutu mwovu akiachana na uovu aliofanya, na kutenda mambo ya haki na ya ukweli, huyo atayaokoa maisha yake.