Ezekiel 18:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kama mtu ni mwadilifu, anafuata yaliyo haki na sawa,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mtu aweza kuwa ni mwenye haki atendaye yaliyo haki na sawa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali kama mtu ni mwenye haki, na kuyatenda yaliyo halali na haki;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kama mtu ni mwadilifu, anafuata yaliyo haki na sawa,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mtu aweza kuwa ni mwenye haki atendaye yaliyo haki na sawa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mtu aweza kuwa ni mwenye haki atendaye yaliyo haki na sawa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali kama mtu ni mwenye haki, na kuyatenda yaliyo halali na haki;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kama mtu ni mwadilifu, anafuata yaliyo haki na sawa,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu akiwa mwongofu, afanye yaliyo sawa yaongokayo,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali kama mtu ni mwenye haki, na kuyatenda yaliyo halali na haki;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama mutu ni wa haki, ataishi. Mutu wa haki anatenda hivi: anafuata sheria ya Mungu na kutenda kwa haki, hakuli sadaka kwenye milima, haziangalii sanamu za miungu ya Waisraeli, hamuchafui muke wa jirani yake, halali na mwanamuke wakati wake wa ugonjwa wa mwezi, hamutendei mutu yeyote ubaya, anarudisha rehani, haibi, anawapatia wenye njaa chakula anawavalisha wale wanaokuwa uchi, anakopesha bila kudai faida wala kujipatia mazidio, anaepuka kutenda uovu, anaamua kwa haki kati ya mwenye kudai na mwenye kudaiwa, anafuata masharti yangu na kutii maagizo yangu kwa moyo. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.