Ezekiel 18:6 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kama hashiriki tambiko za sanamu za miungu mlimani wala kuzitegemea sanamu za miungu ya Waisraeli, kama hatembei na mke wa jirani yake wala kulala na mwanamke wakati wa siku zake,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakula katika mahali pa ibada za sanamu kwenye milima, wala hakuziinulia macho sanamu za nyumba ya Israeli. Hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakukutana kimwili na mwanamke wakati wa siku zake za hedhi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakumkaribia mwanamke wakati wa kutengwa kwake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kama hashiriki tambiko za sanamu za miungu mlimani wala kuzitegemea sanamu za miungu ya Waisraeli, kama hatembei na mke wa jirani yake wala kulala na mwanamke wakati wa siku zake,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakula katika mahali pa ibada za miungu kwenye milima wala hakuziinulia macho sanamu za nyumba ya Israeli. Hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakukutana kimwili na mwanamke wakati wa siku zake za hedhi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakula katika mahali pa ibada za miungu kwenye milima wala hakuziinulia macho sanamu za nyumba ya Israeli. Hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakukutana kimwili na mwanamke wakati wa siku zake za hedhi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakumkaribia mwanamke wakati wa kutengwa kwake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kama hashiriki tambiko za sanamu za miungu mlimani wala kuzitegemea sanamu za miungu ya Waisraeli, kama hatembei na mke wa jirani yake wala kulala na mwanamke wakati wa siku zake,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
asile vilimani juu, wala asiyatazamie kwa macho yake magogo ya kutambikia ya mlango wa Isiraeli, wala asimchafue mke wa mwenziwe, wala asimkaribie mwanamke mwenye siku zake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hakula juu ya milima, wala hakuviinulia macho vinyago vya nyumba ya Israeli, wala hakumtia unajisi mke wa jirani yake, wala hakumkaribia mwanamke wakati wa kutengwa kwake;