Ezekiel 18:8 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kama hakopeshi kwa riba, wala kujipatia ziada, kama hafanyi uovu wowote, ila anaamua kwa haki kati ya mdai na mdaiwa,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakopeshi kwa riba wala hajipatii faida ya ziada. Huuzuia mkono wake usifanye mabaya, naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na mtu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambaye hakumkopesha mtu ili apate faida, wala hakupokea ziada ya namna yo yote; naye ameuepusha mkono wake na uovu, na kufanya hukumu ya haki kati ya mtu na mwenzake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kama hakopeshi kwa riba, wala kujipatia ziada, kama hafanyi uovu wowote, ila anaamua kwa haki kati ya mdai na mdaiwa,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakopeshi kwa riba wala hajipatii faida ya ziada. Huuzuia mkono wake usifanye mabaya, naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na mtu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakopeshi kwa riba wala hajipatii faida ya ziada. Huuzuia mkono wake usifanye mabaya, naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na mtu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambaye hakumkopesha mtu ili apate faida, wala hakupokea ziada ya namna yoyote; naye ameuepusha mkono wake na uovu, na kufanya hukumu ya haki kati ya mtu na mwenzake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kama hakopeshi kwa riba, wala kujipatia ziada, kama hafanyi uovu wowote, ila anaamua kwa haki kati ya mdai na mdaiwa,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
asikopeshee kupata faida, wala asichukue nyongeza za kupunja, mkono wake auzuie, usipotoe, aamue kwa kweli, mtu akigombana na mwenziwe,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambaye hakumkopesha mtu ili apate faida, wala hakupokea ziada ya namna yo yote; naye ameuepusha mkono wake na uovu, na kufanya hukumu ya haki kati ya mtu na mwenzake;