Ezekiel 19:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alimlea mtoto mmojawapo wa watoto wake, mtoto huyo naye akawa simba kijana hodari. Akajifunza kwa mama yake kuwinda, akawa simba mla watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamlea mtoto mmoja katika watoto wake, akawa mwana-simba, akajifunza kuwinda mawindo, akala watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alimlea mtoto mmojawapo wa watoto wake, mtoto huyo naye akawa simba kijana hodari. Akajifunza kwa mama yake kuwinda, akawa simba mla watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamlea mtoto mmoja katika watoto wake, akawa mwanasimba, akajifunza kuwinda mawindo, akala watu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alimlea mtoto mmojawapo wa watoto wake, mtoto huyo naye akawa simba kijana hodari. Akajifunza kwa mama yake kuwinda, akawa simba mla watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hao wanawe mmoja wao, alipokwisha kumlea, akawa kijana wa simba, akajifunza kunyafua nyama, aliowakamata, akala nao watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamlea mtoto mmoja katika watoto wake, akawa mwana-simba, akajifunza kuwinda mawindo, akala watu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alimulea mutoto mumoja kati ya watoto wake, mutoto huyo naye akakuwa simba mukali. Akajifunza toka kwa mama yake kuwinda, akakuwa simba mukula watu.