Ezekiel 19:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliziandama ngome za watu na kuiharibu miji yao. Nchi ikatishika pamoja na wakazi wake, kwa sauti ya kunguruma kwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akabomoa ngome zao na kuiharibu miji yao. Nchi na wote waliokuwa ndani yake wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akayajua majumba yao, akaiharibu miji yao; nchi ikawa ukiwa, navyo vitu vilivyoijaza, kwa sababu ya mshindo wa kunguruma kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliziandama ngome za watu na kuiharibu miji yao. Nchi ikatishika pamoja na wakazi wake, kwa sauti ya kunguruma kwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akabomoa ngome zao na kuiharibu miji yao. Nchi na wote waliokuwa ndani yake wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akabomoa ngome zao na kuiharibu miji yao. Nchi na wote waliokuwa ndani yake wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akayajua majumba yao, akaiharibu miji yao; nchi ikawa ukiwa, na vyote vilivyomo, kwa sababu ya mshindo wa kunguruma kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliziandama ngome za watu na kuiharibu miji yao. Nchi ikatishika pamoja na wakazi wake, kwa sauti ya kunguruma kwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akayajua majumba yao, akaiangamiza miji yao, nchi akaigeuza kuwa peke yake tu, waliojaa huko wakitoweka kwa kuziogopa sauti za ngurumo zake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akayajua majumba yao, akaiharibu miji yao; nchi ikawa ukiwa, navyo vitu vilivyoijaza, kwa sababu ya mshindo wa kunguruma kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alishambulia nyumba za watu na kuiharibu miji yao. Inchi pamoja na wakaaji wake viliogopa, kwa sauti ya kunguruma kwake.