Ezekiel 20:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitawapeleka kwenye jangwa la mataifa; na huko nitawahukumu moja kwa moja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nami nitawaingiza katika jangwa la mataifa, na huko ndiko nitakakoteta nanyi uso kwa uso.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitawapeleka kwenye jangwa la mataifa; na huko nitawahukumu moja kwa moja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nami nitawaingiza katika jangwa la mataifa, na huko ndiko nitakakoteta nanyi uso kwa uso.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitawapeleka kwenye jangwa la mataifa; na huko nitawahukumu moja kwa moja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitawapeleka katika nyika ya makabila mengine; ndiko, nitakakowakatia mashauri uso kwa uso.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nami nitawaingiza katika jangwa la mataifa, na huko ndiko nitakakoteta nanyi uso kwa uso.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitawapeleka kwenye jangwa la mataifa; na huko nitawahukumu moja kwa moja.