Ezekiel 21:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wewe mtu, tabiri! Piga makofi, upanga na ufanye kazi yake, mara mbili, mara tatu. Huo ni upanga wa mauaji nao unawazunguka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hivyo basi, mwanadamu, tabiri na ukapige makofi. Upanga wako na upige mara mbili, naam, hata mara tatu. Ni upanga wa mauaji, upanga wa mauaji makuu, ukiwashambulia kutoka kila upande.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, wewe mwanadamu, tabiri, ukapige makofi; upanga huo na uongezwe mara mbili, hata mara tatu; upanga wao waliotiwa jeraha kiasi cha kuwaua; ni upanga wa mkuu aliyetiwa jeraha kiasi cha kumwua; uwazungukao pande zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wewe mtu, tabiri! Piga makofi, upanga na ufanye kazi yake, mara mbili, mara tatu. Huo ni upanga wa mauaji nao unawazunguka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hivyo basi, mwanadamu, tabiri na ukapige makofi. Upanga wako na upige mara mbili, naam, hata mara tatu. Ni upanga wa kuchinja, upanga wa mauaji makuu, ukiwashambulia kutoka kila upande.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hivyo basi, mwanadamu, tabiri na ukapige makofi. Upanga wako na upige mara mbili, naam, hata mara tatu. Ni upanga wa kuchinja, upanga wa mauaji makuu, ukiwashambulia kutoka kila upande.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, wewe mwanadamu, tabiri, ukapige makofi; upanga huo na uongezwe mara mbili, hata mara tatu; upanga wao waliotiwa jeraha kiasi cha kuwaua; ni upanga wa mkuu aliyetiwa jeraha kiasi cha kumwua; uwazungukao pande zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wewe mtu, tabiri! Piga makofi, upanga na ufanye kazi yake, mara mbili, mara tatu. Huo ni upanga wa mauaji nao unawazunguka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawe mwana wa mtu, yafumbue yatakayokuwa ukiyapiga makofi! Kwani huo upanga utakuja mara mbili, hata mara tatu, ndio upanga upigao madonda kabisa, kweli ndio upanga mkubwa upigao madonda, ndio utakaowazunguka,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, wewe mwanadamu, tabiri, ukapige makofi; upanga huo na uongezwe mara mbili, hata mara tatu; upanga wao waliotiwa jeraha kiasi cha kuwaua; ni upanga wa mkuu aliyetiwa jeraha kiasi cha kumwua; uwazungukao pande zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe mwanadamu, toa unabii useme: Yawe anasema hivi: Upanga! Kweli, upanga umenolewa, nao umeangarishwa vilevile.