Ezekiel 21:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tangu kaskazini hadi kusini, nitawakatilia mbali watu wote, wema na wabaya, kwa upanga wangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utatolewa alani mwake uwe dhidi ya kila mtu kuanzia kusini hadi kaskazini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, kwa kuwa nitamkatilia mbali nawe mtu mwenye haki na mtu mbaya, upanga wangu utatoka alani mwake, uwe juu ya watu wote wenye mwili toka kusini hata kaskazini,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tangu kaskazini hadi kusini, nitawakatilia mbali watu wote, wema na wabaya, kwa upanga wangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, kwa kuwa nitamkatilia mbali nawe mtu mwenye haki na mtu mwovu, upanga wangu utatoka alani mwake, uwe juu ya watu wote wenye mwili toka kusini hadi kaskazini,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tangu kaskazini hadi kusini, nitawakatilia mbali watu wote, wema na wabaya, kwa upanga wangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa nitaangamiza waongofu na wapotovu, watoweke kwako, kwa hiyo upanga wangu utachomolewa alani mwake, uwapige wote wenye miili toka kusini hata kasikazini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, kwa kuwa nitamkatilia mbali nawe mtu mwenye haki na mtu mbaya, upanga wangu utatoka alani mwake, uwe juu ya watu wote wenye mwili toka kusini hata kaskazini,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wote watajua kwamba ni mimi Yawe niliyeuwasha na hautazimika.