Ezekiel 22:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wakuu wa Israeli walioko kwako, kila mmoja kadiri ya nguvu zake huua watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Tazama jinsi kila mkuu wa Israeli aliye ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya nguvu zake, wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wakuu wa Israeli walioko kwako, kila mmoja kadiri ya nguvu zake huua watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Ona jinsi kila mkuu wa Israeli aliyeko ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Ona jinsi kila mkuu wa Israeli aliyeko ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya nguvu zake, wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wakuu wa Israeli walioko kwako, kila mmoja kadiri ya nguvu zake huua watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama, wakuu wa Isiraeli wote walikuwa mwako wakiitumia mikono yako kumwaga damu za watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, wakuu wa Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya nguvu zake, wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakubwa wa Waisraeli wanaokuwa humo, kila mumoja kadiri ya nguvu zake anaua watu.