Ezekiel 24:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wakaniuliza: “Je, jambo hili unalofanya lamaanisha nini kwetu?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo watu wakaniuliza, “Je, jambo hili unalofanya linamaanisha nini kwetu?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu hao wakaniambia, Je! Hutaki kutuambia maana ya mambo haya kwetu, hata umefanya kama vile ufanyavyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wakaniuliza: “Je, jambo hili unalofanya lamaanisha nini kwetu?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo watu wakaniuliza, “Je, jambo hili unalofanya linamaanisha nini kwetu?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo watu wakaniuliza, “Je, jambo hili unalofanya linamaanisha nini kwetu?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu hao wakaniambia, Je! Hutaki kutuambia maana ya mambo haya kwetu, hata umefanya kama vile ufanyavyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wakaniuliza: “Je, jambo hili unalofanya lamaanisha nini kwetu?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wakaniuliza: Mbona hutuelezi yatakayokuwa kwetu, wewe ukifanya hivyo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu hao wakaniambia, Je! Hutaki kutuambia maana ya mambo haya kwetu, hata umefanya kama vile ufanyavyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wakaniuliza hivi: Jambo hili unalofanya lina maana gani?