Ezekiel 24:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nanyi mtafanya kama mimi nilivyofanya. Hamtazifunika nyuso zenu wala kula chakula cha matanga.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nanyi mtafanya kama nilivyofanya. Hamtafunika sehemu ya chini ya nyuso zenu wala hamtakula vyakula vya kawaida vya waombolezaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nanyi mtafanya kama mimi nilivyofanya; hamtaifunika midomo yenu, wala kula chakula cha watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nanyi mtafanya kama mimi nilivyofanya. Hamtazifunika nyuso zenu wala kula chakula cha matanga.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nanyi mtafanya kama nilivyofanya. Hamtafunika sehemu ya chini ya nyuso zenu wala hamtakula vyakula vya kawaida vya waombolezaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nanyi mtafanya kama nilivyofanya. Hamtafunika sehemu ya chini ya nyuso zenu wala hamtakula vyakula vya kawaida vya waombolezaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nanyi mtafanya kama mimi nilivyofanya; hamtaifunika midomo yenu, wala kula chakula cha watu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nanyi mtafanya kama mimi nilivyofanya. Hamtazifunika nyuso zenu wala kula chakula cha matanga.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mtakapofanya, mimi nilivyofanya: Hamtazifunika ndevu za midomoni, wala hamtakula chakula, mtakacholetewa na watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nanyi mtafanya kama mimi nilivyofanya; hamtaifunika midomo yenu, wala kula chakula cha watu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi mutafanya kama vile Ezekieli alivyofanya. Hamutazifunika nyuso zenu wala kula chakula cha kilio.