Ezekiel 27:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Vedani na Yavani walisafirisha bidhaa zako toka Uzali; hata chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai ili kupata bidhaa zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“ ‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali walikuletea mali ya biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wedani, na Yavani, walifanya biashara toka Uzali kwa vitu vyako; chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai, vilikuwa katika bidhaa yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Vedani na Yavani walisafirisha bidhaa zako toka Uzali; hata chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai ili kupata bidhaa zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“ ‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali, walikuletea mali za biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“ ‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali, walikuletea mali za biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wedani, na Yavani, walifanya biashara toka Uzali kwa vitu vyako; chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai, vilikuwa katika bidhaa yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Vedani na Yavani walisafirisha bidhaa zako toka Uzali; hata chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai ili kupata bidhaa zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wawedani na Wayawani walijipatia bidhaa zako na kuleta toka Uzali vyuma vilivyofuliwa vema, hata dalasini na vichiri vilikuwa malipo yao ya kukulipa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wedani, na Yavani, walifanya biashara toka Uzali kwa vitu vyako; chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai, vilikuwa katika bidhaa yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wedani na Yavani walisafirisha vitu vyako toka muji wa Uzali; hata chuma kilichofuliwa, mudalasini na muchaichai kwa kununua vitu kwako.