Ezekiel 27:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wataimba wimbo wa ombolezo juu yako; ‘Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na katika kulia kwao watakufanyia maombolezo, na kukuombolezea, wakisema, Ni nani aliye kama Tiro, kama yeye aliyenyamazishwa kati ya bahari?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wataimba wimbo wa ombolezo juu yako; ‘Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na katika kulia kwao watakufanyia maombolezo, na kukuombolezea, wakisema, Ni nani aliye kama Tiro, kama yeye aliyenyamazishwa kati ya bahari?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wataimba wimbo wa ombolezo juu yako; ‘Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watakapokulilia watakutungia ombolezo, wakuombolezee kwamba: Pako mahali gani panaponyamaza kimya kama Tiro ulioko baharini kati?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na katika kulia kwao watakufanyia maombolezo, na kukuombolezea, wakisema, Ni nani aliye kama Tiro, kama yeye aliyenyamazishwa kati ya bahari?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wataimba wimbo wa maombolezo juu yako; Nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro katikati ya bahari?