Ezekiel 27:35 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakazi wote wa visiwani wamepigwa na bumbuazi juu yako; wafalme wao wameogopa kupindukia, nyuso zimekunjamana kwa huzuni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wote wanaoishi katika nchi za pwani wanakustaajabia; wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu, nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wote wakaao katika visiwa vile watakustaajabia, na wafalme wao wameogopa sana, wamefadhaika nyuso zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakazi wote wa visiwani wamepigwa na bumbuazi juu yako; wafalme wao wameogopa kupindukia, nyuso zimekunjamana kwa huzuni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wote waishio katika nchi za pwani wanakustaajabia; wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu, nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wote waishio katika nchi za pwani wanakustaajabia; wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu, nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wote wakaao katika visiwa vile watakustaajabia, na wafalme wao wameogopa sana, wamefadhaika nyuso zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakazi wote wa visiwani wamepigwa na bumbuazi juu yako; wafalme wao wameogopa kupindukia, nyuso zimekunjamana kwa huzuni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo wote wakaao kwenye bahari wanakustukia wafalme wao wakapigwa na bumbuazi, nazo nyuso zao zikatetemeka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wote wakaao katika visiwa vile watakustaajabia, na wafalme wao wameogopa sana, wamefadhaika nyuso zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakaaji wote wa visanga wameshangaa sana juu yako; wafalme wao wameogopa sana, nyuso zimekunjamana kwa huzuni.