Ezekiel 28:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hekima na akili yako umejipatia utajiri, umejikusanyia dhahabu na fedha ukaziweka katika hazina zako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hekima yako na ufahamu wako, umejipatia utajiri, nawe umejikusanyia dhahabu na fedha katika hazina zako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa hekima yako na kwa fahamu zako umejipatia utajiri, nawe umepata dhahabu na fedha katika hazina zako;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hekima na akili yako umejipatia utajiri, umejikusanyia dhahabu na fedha ukaziweka katika hazina zako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hekima yako na ufahamu wako, umejipatia utajiri, nawe umejikusanyia dhahabu na fedha katika hazina zako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hekima yako na ufahamu wako, umejipatia utajiri, nawe umejikusanyia dhahabu na fedha katika hazina zako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa hekima yako na kwa fahamu zako umejipatia utajiri, nawe umepata dhahabu na fedha katika hazina zako;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hekima na akili yako umejipatia utajiri, umejikusanyia dhahabu na fedha ukaziweka katika hazina zako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa werevu wako wa kweli na kwa utambuzi wako ulijipatia mali, ukalimbika dhahabu na fedha katika maweko yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa hekima yako na kwa fahamu zako umejipatia utajiri, nawe umepata dhahabu na fedha katika hazina zako;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hekima na akili yako umejipatia utajiri, umejikusanyia zahabu na feza ukaziweka katika hazina zako.