Ezekiel 29:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuna mtu wala mnyama atakayepita huko. Haitakaliwa kwa muda wa miaka arubaini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hautapita kati yake mguu wa mwanadamu, wala hautapita kati yake mguu wa mnyama, wala haitakaliwa na watu, muda wa miaka arobaini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuna mtu wala mnyama atakayepita huko. Haitakaliwa kwa muda wa miaka arubaini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna ye yote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hautapita kati yake mguu wa mwanadamu, wala hautapita kati yake mguu wa mnyama, wala haitakaliwa na watu, muda wa miaka arobaini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuna mtu wala mnyama atakayepita huko. Haitakaliwa kwa muda wa miaka arubaini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hautapita kwake mguu wa mtu, wala mguu wa nyama hautapita kwake, wala hawatakaa watu miaka 40.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hautapita kati yake mguu wa mwanadamu, wala hautapita kati yake mguu wa mnyama, wala haitakaliwa na watu, muda wa miaka arobaini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakuna mutu wala nyama atakayepita huko. Haitakaliwa kwa muda wa miaka makumi ine.