Ezekiel 29:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ufalme dhaifu kuliko falme zote; wala hawataweza kujikuza juu ya mataifa mengine. Nitawafanya Wamisri wawe watu dhaifu hata wasiweze kuyatawala mataifa mengine tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utakuwa duni kuliko falme zote; wala hautajiinua tena juu ya mataifa; nami nitawapunguza, ili wasitawale tena juu ya mataifa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ufalme dhaifu kuliko falme zote; wala hawataweza kujikuza juu ya mataifa mengine. Nitawafanya Wamisri wawe watu dhaifu hata wasiweze kuyatawala mataifa mengine tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utakuwa duni kuliko falme zote; wala hautajiinua tena juu ya mataifa; nami nitawapunguza, ili wasitawale tena juu ya mataifa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ufalme dhaifu kuliko falme zote; wala hawataweza kujikuza juu ya mataifa mengine. Nitawafanya Wamisri wawe watu dhaifu hata wasiweze kuyatawala mataifa mengine tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Katika nchi za kifalme nyingine itakaa chini tu, haitaweza kuyainukia mataifa tena, kwani nitawapunguza, wawe wachache tu, wasiyatawale mataifa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utakuwa duni kuliko falme zote; wala hautajiinua tena juu ya mataifa; nami nitawapunguza, ili wasitawale tena juu ya mataifa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ufalme zaifu kuliko falme zote; wala hawataweza kujipandisha juu ya mataifa mengine. Nitawafanya Wamisri wakuwe watu zaifu hata wasiweze kuyatawala mataifa mengine tena.