Ezekiel 3:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sikutumi kwa taifa lenye lugha ngeni na ngumu, bali kwa Waisraeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana wewe hukutumwa kwa watu wa maneno mageni, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sikutumi kwa taifa lenye lugha ngeni na ngumu, bali kwa Waisraeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana wewe hukutumwa kwa watu wa lugha isiyoeleweka, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sikutumi kwa taifa lenye lugha ngeni na ngumu, bali kwa Waisraeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani wewe hutumwi kwa kabila lenye msemo mgumu na ndimi nzito, ila kwa mlango wa Isiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana wewe hukutumwa kwa watu wa maneno mageni, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi sikutumi kwa taifa lenye luga ya kigeni na lenye usemi mugumu, lakini kwa Waisraeli.