Ezekiel 30:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nebukadneza mwenyewe pamoja na watu wake, taifa katili kuliko mataifa yote, watatumwa kuiangamiza nchi ya Misri. Watachomoa panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi hiyo watu waliouawa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote, ataletwa ili kuangamiza nchi. Watafuta panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye, na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa watishao, wataletwa waingie katika nchi waiharibu, nao watafuta panga zao wapigane na Misri, na kuijaza nchi wale waliouawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nebukadneza mwenyewe pamoja na watu wake, taifa katili kuliko mataifa yote, watatumwa kuiangamiza nchi ya Misri. Watachomoa panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi hiyo watu waliouawa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote, litaletwa ili kuangamiza nchi. Watafuta panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote, litaletwa ili kuangamiza nchi. Watafuta panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye, na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa watishao, wataletwa waingie katika nchi waiharibu, nao watafuta panga zao wapigane na Misri, na kuijaza nchi wale waliouawa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nebukadneza mwenyewe pamoja na watu wake, taifa katili kuliko mataifa yote, watatumwa kuiangamiza nchi ya Misri. Watachomoa panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi hiyo watu waliouawa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yeye na watu wake, alio nao, ni wakali kuliko mataifa mengine; watapelekwa kuiangamiza hiyo nchi, watazichomoa panga zao kuwapiga Wamisri, waijaze hiyo nchi watu walioumizwa na panga.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye, na watu wake pamoja naye, watu wa mataifa watishao, wataletwa waingie katika nchi waiharibu, nao watafuta panga zao wapigane na Misri, na kuijaza nchi wale waliouawa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nebukadneza mwenyewe pamoja na watu wake, taifa la hatari kuliko mataifa yote, watatumwa kuiangamiza inchi ya Misri. Watachomoa panga zao juu ya Misri na kuijaza inchi hiyo watu waliouawa.