Ezekiel 30:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Vijana wanaume wa Oni na Pi-besethi watauawa kwa upanga, na wakazi wengine watachukuliwa uhamishoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Vijana wa Oni, na wa Pi-besethi, wataanguka kwa upanga; na miji hiyo itakwenda utumwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Vijana wanaume wa Oni na Pi-besethi watauawa kwa upanga, na wakazi wengine watachukuliwa uhamishoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Vijana wa Oni, na wa Pi-besethi, wataanguka kwa upanga; na miji hiyo itakwenda utumwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Vijana wanaume wa Oni na Pi-besethi watauawa kwa upanga, na wakazi wengine watachukuliwa uhamishoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vijana wa Oni na wa Pi-Beseti watauawa kwa panga, watu wao wengine watatekwa na kuhamishwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Vijana wa Oni, na wa Pi-besethi, wataanguka kwa upanga; na miji hiyo itakwenda utumwani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vijana wanaume wa Oni na Pibeseti watauawa kwa upanga, na wakaaji wengine watapelekwa katika uhamisho.