Ezekiel 30:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huko Tahpanesi mchana utakuwa giza wakati nitavunja mamlaka ya Misri na kiburi chake kikuu kukomeshwa. Wingu litaifunika nchi ya Misri na watu wake watachukuliwa mateka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huko Tapanesi mchana utatiwa giza nitakapovunja nira ya Misri; hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma. Atafunikwa na mawingu na vijiji vyake vitatekwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huko Tapanesi nako mchana utakuwa giza, nitakapovunja huko kongwa za Misri, na kiburi cha uwezo wake kitakoma ndani yake, na katika habari zake, wingu litaifunika, na binti zake watakwenda utumwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huko Tahpanesi mchana utakuwa giza wakati nitavunja mamlaka ya Misri na kiburi chake kikuu kukomeshwa. Wingu litaifunika nchi ya Misri na watu wake watachukuliwa mateka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza nitakapovunja kongwa la Misri; hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma. Atafunikwa na mawingu na vijiji vyake vitatekwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza nitakapovunja kongwa la Misri; hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma. Atafunikwa na mawingu na vijiji vyake vitatekwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huko Tapanesi nako mchana utakuwa giza, nitakapovunja huko kongwa za Misri, na kiburi cha uwezo wake kitakoma ndani yake, na katika habari zake, wingu litaifunika, na binti zake watakwenda utumwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huko Tahpanesi mchana utakuwa giza wakati nitavunja mamlaka ya Misri na kiburi chake kikuu kukomeshwa. Wingu litaifunika nchi ya Misri na watu wake watachukuliwa mateka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Namo Tehafunesi mchana utageuka kuwa giza, nitakapozivunja mle bakora za kifalme za Misri; namo ndimo, nitakamoyakomesha majivuno ya nguvu zao; mji wenyewe wingu litaufunika, navyo vijiji vyake vya shambani vitatekwa na kuhamishwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huko Tapanesi nako mchana utakuwa giza, nitakapovunja huko kongwa za Misri, na kiburi cha uwezo wake kitakoma ndani yake, na katika habari zake, wingu litaifunika, na binti zake watakwenda utumwani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Huko Tapanesi muchana utakuwa giza wakati nitakapovunja mamlaka ya Misri na kiburi chake kikubwa kitakapokomeshwa. Wingu litaifunika inchi ya Misri na watu wake watakamatwa mateka.