Ezekiel 31:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndege wote watatua juu ya mabaki yake na wanyama wote wa porini watakanyaga matawi yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Juu ya magofu yake ndege wote wa angani watakaa, na wanyama wote wa jangwani watakuwa juu ya matawi yake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndege wote watatua juu ya mabaki yake na wanyama wote wa porini watakanyaga matawi yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Juu ya magofu yake ndege wote wa angani watakaa, na wanyama wote wa jangwani watakuwa juu ya matawi yake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndege wote watatua juu ya mabaki yake na wanyama wote wa porini watakanyaga matawi yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Juu ya gogo lake lililoanguka watakaa ndege wote wa angani, nako kwenye machipuko yake watakuwako nyama wote wa porini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Juu ya magofu yake ndege wote wa angani watakaa, na wanyama wote wa jangwani watakuwa juu ya matawi yake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndege wote watatua juu ya mabaki yake na nyama wote wa pori watakanyaga matawi yake.