Ezekiel 32:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nchi nitainywesha damu yako mpaka milimani, mashimo yatajaa damu yako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena kwa damu yako nitainywesha nchi, ambayo waogelea juu yake, hata milimani; na mifereji ya maji itajawa nawe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nchi nitainywesha damu yako mpaka milimani, mashimo yatajaa damu yako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena kwa damu yako nitainywesha nchi, ambayo waogelea juu yake, hata milimani; na mifereji ya maji itajawa nawe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nchi nitainywesha damu yako mpaka milimani, mashimo yatajaa damu yako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nchi nitainywesha mafuriko yako yatokayo kwa damu yako, yafike hata milimani, nayo makorongo yatajazwa hayo yatokayo kwako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena kwa damu yako nitainywesha nchi, ambayo waogelea juu yake, hata milimani; na mifereji ya maji itajawa nawe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitaikunywesha inchi damu yako mpaka juu ya milima, mashimo yatajaa damu yako.