Ezekiel 33:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
huyo anapoona maadui wanakuja, atapiga tarumbeta na kuwaonya watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye auonapo upanga unakuja dhidi ya nchi na kupiga tarumbeta kuonya watu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ikiwa, aonapo upanga unakuja juu ya nchi hiyo, apiga tarumbeta na kuwaonya watu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
huyo anapoona maadui wanakuja, atapiga tarumbeta na kuwaonya watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye auonapo upanga unakuja dhidi ya nchi na kupiga tarumbeta kuonya watu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye auonapo upanga unakuja dhidi ya nchi na kupiga tarumbeta kuonya watu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akiona upanga unakuja juu ya nchi hiyo, na kupiga tarumbeta na kuwaonya watu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
huyo anapoona maadui wanakuja, atapiga tarumbeta na kuwaonya watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atakapoziona panga, zikiijia hiyo nchi, atapiga baragumu, awaonye wale watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ikiwa, aonapo upanga unakuja juu ya nchi hiyo, apiga tarumbeta na kuwaonya watu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
huyo anapoona waadui wanakuja, atapiga baragumu na kuwaonya watu.