Ezekiel 35:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wewe mtu! Ugeukie mlima Seiri, utoe unabii juu ya wakazi wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Mlima Seiri, utabiri dhidi yake
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwanadamu, kaza uso wako juu ya mlima Seiri, ukatabiri juu yake,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wewe mtu! Ugeukie mlima Seiri, utoe unabii juu ya wakazi wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwanadamu, kaza uso wako juu ya mlima Seiri, ukatabiri juu yake,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wewe mtu! Ugeukie mlima Seiri, utoe unabii juu ya wakazi wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana wa mtu, ielekezee milima ya Seiri uso wako na kuifumbulia yatakayokuwa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwanadamu, kaza uso wako juu ya mlima Seiri, ukatabiri juu yake,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe mwanadamu! Ugeukie upande wa mulima Seiri, utoe unabii juu ya wakaaji wake.