Ezekiel 37:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wananchi wenzako watakapouliza, ‘Je, hutatueleza maana ya jambo hilo?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Watu wako watakapokuuliza, ‘Je, hutatuambia ni nini maana ya jambo hili?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa watu wangu watakapokuambia, wakisema, Je! Hutatuonyesha maana ya mambo hayo utendayo?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wananchi wenzako watakapouliza, ‘Je, hutatueleza maana ya jambo hilo?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Watu wako watakapokuuliza, ‘Je, hutatuambia ni nini maana ya jambo hili?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Watu wako watakapokuuliza, ‘Je, hutatuambia ni nini maana ya jambo hili?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa watu wangu watakapokuambia, wakisema, Je! Hutatuonesha maana ya mambo hayo utendayo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wananchi wenzako watakapouliza, ‘Je, hutatueleza maana ya jambo hilo?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama wana wao walio ukoo wako watakuuliza kwamba: Hutuambii maana yao hayo, uliyo nayo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa watu wangu watakapokuambia, wakisema, Je! Hutatuonyesha maana ya mambo hayo utendayo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanainchi wenzako watakuuliza: Hautatuelezea maana ya jambo hilo?